Biblia inasema nini kuhusu Zibeoni – Mistari yote ya Biblia kuhusu Zibeoni

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zibeoni

Mwanzo 36 : 2
2 Esau alitwaa binti za Kanaani, kuwa wakeze; Ada, binti Eloni, Mhiti, na Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, Mhivi;

Mwanzo 36 : 14
14 Na hawa ni wana wa Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, mkewe Esau; akamzalia Esau, Yeushi, na Yalamu, na Kora.

Mwanzo 36 : 20
20 Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,

Mwanzo 36 : 24
24 Na hawa ni wana wa Sibeoni, Aya, na Ana; ni yule Ana aliyeona chemchemi za maji ya moto katika jangwa, alipokuwa akichunga punda za Sibeoni babaye.

Mwanzo 36 : 29
29 Hawa ndio majumbe waliotoka katika Wahori; jumbe Lotani, jumbe Shobali, jumbe Sibeoni, jumbe Ana,

1 Mambo ya Nyakati 1 : 38
38 Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 40
40 Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *