Biblia inasema nini kuhusu Zedadi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Zedadi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zedadi

Hesabu 34 : 8
8 ⑱ na kutoka mlima wa Hori mtaweka alama hadi Hamathi; na kutokea kwake mpaka hadi hapo Sedada;

Ezekieli 47 : 15
15 Na huu ndio mpaka wa nchi; upande wa kaskazini, toka bahari kubwa, kwa njia ya Hethloni, mpaka maingilio ya Sedada;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *