Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Yerimothi
1 Mambo ya Nyakati 7 : 7
7 Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa koo za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu elfu ishirini na mbili na thelathini na wanne.
1 Mambo ya Nyakati 7 : 8
8 Na wana wa Bekeri; Zemira, na Yoashi, na Eliezeri, na Elioenai, na Omri, na Yeremothi, na Abiya, na Anathothi, na Alemethi. Hao wote ndio wana wa Bekeri.
1 Mambo ya Nyakati 12 : 5
5 Eluzai, na Yerimothi, na Bealia, na Shemaria, na Shefatia Mharufi;
1 Mambo ya Nyakati 23 : 23
23 Wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi, watu watatu.
1 Mambo ya Nyakati 24 : 30
30 ④ Na wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi. Hao ndio wana wa Walawi, kwa kufuata koo za baba zao.
1 Mambo ya Nyakati 25 : 4
4 Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;
1 Mambo ya Nyakati 27 : 19
19 wa Zabuloni, Ishmaya mwana wa Obadia; wa Naftali, Yeremothi mwana wa Azrieli;
2 Mambo ya Nyakati 11 : 18
18 Rehoboamu akaoa mke, Mahalathi binti Yerimothi mwana wa Daudi, na wa Abihaili binti Eliabu, mwana wa Yese;
Leave a Reply