Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia wanaharamu
Kumbukumbu la Torati 23 : 2
2 Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa BWANA; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa BWANA.
Waraka kwa Waebrania 12 : 8
8 ⑱ Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.
Waamuzi 11 : 1
1 Basi huyo Yeftha, Mgileadi, alikuwa mtu shujaa sana, naye alikuwa ni mwana wa mwanamke kahaba; Gileadi akamzaa Yeftha.
Mwanzo 19 : 36
36 Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Leave a Reply