Biblia inasema nini kuhusu vita – Mistari yote ya Biblia kuhusu vita

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia vita

Zaburi 18 : 39
39 Nawe umenipa nguvu za vita, Hunitiishia chini yangu walionishambulia.

Waefeso 6 : 12
12 ⑧ Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *