Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uzi
1 Mambo ya Nyakati 6 : 6
6 na Uzi akamzaa Zerahia; na Zerahia akamzaa Merayothi,
1 Mambo ya Nyakati 6 : 51
51 na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;
Ezra 7 : 4
4 mwana wa Zerahia, mwana wa Uzi, mwana wa Buki,
1 Mambo ya Nyakati 7 : 3
3 Na wana wa Uzi; Izrahia; na wana wa Izrahia; Mikaeli, na Obadia, na Yoeli, na Ishia, watano; wote wakuu.
1 Mambo ya Nyakati 7 : 7
7 Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa koo za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu elfu ishirini na mbili na thelathini na wanne.
1 Mambo ya Nyakati 9 : 8
8 na Ibneya, mwana wa Yerohamu; na Ela, mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu, mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya;
Nehemia 11 : 22
22 Naye msimamizi wa Walawi huko Yerusalemu, ni Uzi, mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, hao waimbaji, alikuwa juu ya kazi ya nyumba ya Mungu.
Nehemia 12 : 19
19 wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;
Nehemia 12 : 42
42 na Maaseya, na Shemaya, na Eleazari, na Uzi, na Yehohanani, na Malkiya, na Elamu, na Ezeri. Waimbaji wakaimba kwa sauti kuu, akiwa Yezrahia msimamizi wao.
Leave a Reply