Biblia inasema nini kuhusu ushirika – Mistari yote ya Biblia kuhusu ushirika

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia ushirika

Waraka kwa Waebrania 10 : 25
25 ⑫ wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.

Wakolosai 3 : 16
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *