Biblia inasema nini kuhusu Urejesho – Mistari yote ya Biblia kuhusu Urejesho

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Urejesho

Matendo 3 : 21
21 ambaye ilimpasa kupokewa mbinguni hata zije zamani za kufanywa upya vitu vyote, zilizonenwa na Mungu kwa kinywa cha manabii wake watakatifu tokea mwanzo wa ulimwengu.

Ufunuo 21 : 5
5 ③ Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *