Biblia inasema nini kuhusu Udi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Udi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Udi

Zaburi 45 : 8
8 Mavazi yako yote hunukia manemane Na udi na mdalasini. Katika majumba ya pembe Vinubi vimekufurahisha.

Mithali 7 : 17
17 Nimetia kitanda changu manukato, Manemane na udi na mdalasini.

Wimbo ulio Bora 4 : 14
14 Nardo na zafarani, mchai na mdalasini, Na miti yote iletayo ubani, Manemane na udi, na kolezi kuu zote.

Yohana 19 : 39
39 Akaenda Nikodemo naye, (yule aliyemwendea usiku hapo kwanza), akaleta mchanganyiko wa manemane na uudi, yapata ratili mia.

Hesabu 24 : 6
6 ⑯ Mfano wa bonde zimetandwa, Mfano wa bustani kando ya mto, Mfano wa mishubiri aliyoipanda BWANA, Mfano wa mierezi kando ya maji.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *