Biblia inasema nini kuhusu ubatizo – Mistari yote ya Biblia kuhusu ubatizo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia ubatizo

Matendo 2 : 38
38 ⑯ Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.

Matendo 1 : 5
5 ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi chache.

Matendo 2 : 41
41 ⑲ Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapatao elfu tatu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *