Biblia inasema nini kuhusu Tobia – Mistari yote ya Biblia kuhusu Tobia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Tobia

2 Mambo ya Nyakati 17 : 8
8 na pamoja nao Walawi, yaani, Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adonia, Tobia, na Tob-adonia, Walawi; na pamoja nao Elishama na Yehoramu, makuhani.

Zekaria 6 : 10
10 Pokea vitu mikononi mwa baadhi ya watu waliohamishwa, yaani, Heldai, na Tobia, na Yedaya; na siku iyo hiyo nenda ukaingie katika nyumba ya Yosia, mwana wa Sefania, waliyoifikia kutoka Babeli;

Zekaria 6 : 14
14 Na hayo mataji yatakuwa ya Heldai, na Tobia, na Yedaya; na kwa fadhili za mwana wa Sefania; yawe kumbukumbu katika hekalu la BWANA.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *