Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Tango
Hesabu 11 : 5
5 Twakumbuka samaki tuliokula huko Misri bure; na yale matango, na matikiti, na mboga, na vitunguu, na vitunguu saumu;
Isaya 1 : 8
8 Na binti Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kipenu katika shamba la matango, kama mji uliohusuriwa.
Leave a Reply