Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Soreli
Zekaria 1 : 8
8 Niliona wakati wa usiku, na tazama, mtu amepanda farasi mwekundu, akasimama kati ya miti ya mihadasi iliyokuwa mahali penye uvuli; na nyuma yake walikuwapo farasi wengine wekundu, na wa rangi ya kijivujivu, na weupe.
Leave a Reply