Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Siddim
Mwanzo 14 : 3
3 ⑰ Hawa wote wakakutana katika bonde la Sidimu, yaani Bahari ya Chumvi.
Mwanzo 14 : 8
8 Mfalme wa Sodoma, na mfalme wa Gomora, na mfalme wa Adma, na mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari, wakatoka wakapanga vita panapo bonde la Sidimu;
Mwanzo 14 : 10
10 ⑲ Na bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami. Nao wafalme wa Sodoma na Gomora wakakimbia, wakaanguka huko, nao waliosalia wakakimbia milimani.
Leave a Reply