Biblia inasema nini kuhusu Shaveh – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shaveh

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shaveh

Mwanzo 14 : 17
17 Abramu aliporudi kutoka kumpiga Kedorlaoma na wale wafalme waliokuwa pamoja naye, mfalme wa Sodoma akatoka amlaki katika bonde la Shawe, nalo ni Bonde la Mfalme.

2 Samweli 18 : 18
18 Huyo Absalomu alipokuwa yu hai alikuwa ameitwaa na kujiinulia ile nguzo iliyoko bondeni mwa mfalme; kwa maana alisema, Mimi sina mtoto wa kuliendeleza jina langu; akaiita hiyo nguzo kwa jina lake mwenyewe nayo inaitwa mnara wa Absalomu hata hivi leo.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *