Biblia inasema nini kuhusu Shabethai – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shabethai

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shabethai

Ezra 10 : 15
15 Yonathani, mwana wa Asaheli, na Yazeya, mwana wa Tikwa, hawa peke yao ndio waliosimama kulipinga neno hilo; na Meshulamu, na Shabethai Mlawi, wakawasaidia.

Nehemia 8 : 7
7 Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.

Nehemia 11 : 16
16 na Shabethai na Yozabadi, wa wakuu wa Walawi, walioisimamia kazi ya nje ya nyumba ya Mungu;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *