Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Scapebird
Mambo ya Walawi 14 : 7
7 ③ kisha atamnyunyizia huyo atakayetakaswa na ukoma mara saba, naye atasema kwamba ni safi, kisha atamwacha yule ndege aliye hai aende zake nyikani.
Mambo ya Walawi 14 : 53
53 lakini ndege aliye hai atamwacha atoke mle mjini aende nyikani; ndivyo atakavyofanya upatanisho kwa ajili ya hiyo nyumba; nayo itakuwa safi.
Leave a Reply