Biblia inasema nini kuhusu Sanbalati – Mistari yote ya Biblia kuhusu Sanbalati

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Sanbalati

Nehemia 2 : 10
10 Hata Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, waliposikia habari hizi, ziliwahuzunisha sana, kwa kuwa amekuja mtu kuwatakia heri wana wa Israeli.

Nehemia 2 : 19
19 Lakini Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, walitucheka, wakatudharau, wakasema, Ni nini neno hili mnalofanya? Je! Ninyi mtaasi juu ya mfalme?

Nehemia 13 : 28
28 Na mwana mmoja wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe Sanbalati, Mhoroni, basi nikamfukuza kwangu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *