Biblia inasema nini kuhusu Rab-Shakeh – Mistari yote ya Biblia kuhusu Rab-Shakeh

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Rab-Shakeh

2 Wafalme 18 : 36
36 Lakini hao watu wakanyamaza kimya; wala hawakumjibu hata neno moja; maana amri ya mfalme ilikuwa kwamba, Msimjibu neno.

2 Wafalme 19 : 4
4 Yamkini BWANA, Mungu wako, atayasikia maneno yote ya kamanda huyu,[13] ambaye mfalme wa Ashuru, bwana wake, amemtuma ili amtukane Mungu aliye hai; naye atayakemea hayo maneno aliyoyasikia BWANA, Mungu wako; kwa sababu hii inua dua yako kwa ajili ya mabaki yaliyobakia.

2 Wafalme 19 : 8
8 Basi yule kamanda akarudi, akamkuta mfalme wa Ashuru, anapigana na Libna; maana alikuwa amesikia ya kwamba ameondoka, akaacha Lakishi.

Isaya 37 : 4
4 ① Yamkini BWANA, Mungu wako, atayasikia maneno ya huyo kamanda ambaye mfalme wa Ashuru, bwana wake, amemtuma ili amtukane Mungu aliye hai; na BWANA, Mungu wako atayakemea maneno aliyoyasikia; basi, inua dua yako kwa ajili ya mabaki yaliyobakia.

Isaya 37 : 8
8 ② Basi yule kamanda akarudi, akamkuta mfalme wa Ashuru anapigana vita juu ya Libna; kwa maana alikuwa amesikia ya kwamba ameondoka, akaacha Lakishi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *