Biblia inasema nini kuhusu Pua – Mistari yote ya Biblia kuhusu Pua

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Pua

Mithali 11 : 22
22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Ndivyo alivyo mwanamke mzuri asiye na akili.

Isaya 3 : 21
21 na pete, na azama,

Ezekieli 16 : 12
12 Nikatia kishaufu puani mwako, na herini masikioni mwako, na taji zuri juu ya kichwa chako.

Ezekieli 23 : 25
25 Nami nitaweka wivu wangu juu yako, nao watakutenda mambo kwa ghadhabu; watakuondolea pua yako na masikio yako; na mabaki yako wataanguka kwa upanga; watawatwaa wanao na binti zako; na mabaki yako watateketea motoni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *