Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Pua
Mithali 11 : 22
22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Ndivyo alivyo mwanamke mzuri asiye na akili.
Isaya 3 : 21
21 na pete, na azama,
Ezekieli 16 : 12
12 Nikatia kishaufu puani mwako, na herini masikioni mwako, na taji zuri juu ya kichwa chako.
Ezekieli 23 : 25
25 Nami nitaweka wivu wangu juu yako, nao watakutenda mambo kwa ghadhabu; watakuondolea pua yako na masikio yako; na mabaki yako wataanguka kwa upanga; watawatwaa wanao na binti zako; na mabaki yako watateketea motoni.
Leave a Reply