Biblia inasema nini kuhusu Pleiades – Mistari yote ya Biblia kuhusu Pleiades

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Pleiades

Ayubu 9 : 9
9 Yeye afanyaye hizo nyota za Dubu, na Orioni, na hicho Kilimia, Na makundi ya nyota ya kusini.

Ayubu 38 : 31
31 ⑦ Je! Waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia, Au kuvilegeza vifungo vya Orioni?

Amosi 5 : 8
8 ⑭ mtafuteni yeye afanyaye Kilimia na Orioni, na kukigeuza kivuli cha mauti kuwa asubuhi, na kuufanya mchana kuwa giza usiku; yeye ayaitaye maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa nchi; BWANA, ndilo jina lake;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *