Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Othnieli
Yoshua 15 : 20
20 Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Yuda sawasawa na jamaa zao.
Waamuzi 1 : 13
13 Naye Othnieli, mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa huyo Kalebu, aliutwaa; basi akamwoza mwanawe Aksa.
Waamuzi 3 : 11
11 Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka arubaini. Kisha Othnieli, mwana wa Kenazi, akafa.
Waamuzi 3 : 11
11 Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka arubaini. Kisha Othnieli, mwana wa Kenazi, akafa.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 14
14 Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye Ge-harashimu;[3] kwani hao walikuwa mafundi stadi.
Leave a Reply