Biblia inasema nini kuhusu nyama – Mistari yote ya Biblia kuhusu nyama

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia nyama

Mwanzo 9 : 3
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapa hivi vyote.

Warumi 14 : 2
2 ⑫ Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.

1 Wakorintho 8 : 13
13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *