Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nachon
2 Samweli 6 : 7
7 ⑮ Ndipo hasira ya BWANA ikawaka juu ya Uza; naye Mungu akampiga huko kwa kosa lake; hata akafa pale pale penye sanduku la Mungu.
1 Mambo ya Nyakati 13 : 9
9 Hata walipofika penye uga wa Nakoni, Uza akaunyosha mkono wake alishike sanduku; kwa maana wale ng’ombe walijikwaa.
Leave a Reply