Biblia inasema nini kuhusu mshauri – Mistari yote ya Biblia kuhusu mshauri

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mshauri

2 Timotheo 2 : 15
15 Jitahidi kujionesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mfanyakazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli.

2 Timotheo 3 : 16
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *