Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Msamaha
2 Samweli 19 : 23
23 Kisha mfalme akamwambia Shimei, Hutakufa. Mfalme akamwapia.
2 Samweli 19 : 13
13 Kisha mkamwambie Amasa, Je! Si wewe uliye mfupa wangu, na nyama yangu? Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, usipokuwa wewe jemadari wa jeshi mbele yangu daima mahali pa Yoabu.
2 Samweli 17 : 25
25 Naye Absalomu akamweka Amasa awe juu ya jeshi mahali pa Yoabu. Basi huyo Amasa alikuwa mwana wa mtu, jina lake Yetheri, Mwishmaeli, aliyeingia kwa Abigali, binti Nahashi, nduguye Seruya, mamaye Yoabu.
Leave a Reply