Biblia inasema nini kuhusu mlango – Mistari yote ya Biblia kuhusu mlango

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mlango

Mathayo 7 : 7
7 ⑮ Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;

Ufunuo 3 : 20
20 Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *