Biblia inasema nini kuhusu Mkufu – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mkufu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mkufu

Kutoka 35 : 22
22 Nao wakaja, wanaume kwa wanawake, wote waliokuwa na moyo wa kupenda, wakaleta vipini, hazama, pete za mhuri, vikuku na vyombo vyote vya dhahabu; kila mtu aliyetoa toleo la dhahabu la kumpa BWANA.

Hesabu 31 : 50
50 Nasi tumeleta matoleo ya BWANA, aliyopata kila mtu, ya vyombo vya dhahabu, na mitali, na timbi, na pete za mhuri, na vipini, na vikuku, ili kuzifanyia upatanisho nafsi zetu mbele ya BWANA.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *