Biblia inasema nini kuhusu Mgeni – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mgeni

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mgeni

Mithali 23 : 3
3 Usivitamani vyakula vyake vya anasa; Kwa maana ni vyakula vya hila.

Mithali 23 : 8
8 Tonge lile ulilokula utalitapika, Na maneno yako matamu yatakupotea.

Mithali 25 : 7
7 Kwa maana ni heri kuambiwa, Njoo huku mbele; Kuliko kuwekwa nyuma machoni pa mkuu. Yale uliyoyaona kwa macho,

Mithali 25 : 17
17 Mguu wako usiingie katika nyumba ya jirani yako ila kwa kiasi; Asije akakukinai na kukuchukia.

Luka 10 : 7
7 Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; maana, mfanya kazi amestahili kupewa ujira wake. Msihamahame kutoka nyumba hii kwenda nyumba hii.

Luka 14 : 11
11 Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *