Biblia inasema nini kuhusu Mezahabu – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mezahabu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mezahabu

Mwanzo 36 : 39
39 Akafa Baal-hanani, mwana wa Akbori, akamiliki Hadadi badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 50
50 Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akatawala badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *