Biblia inasema nini kuhusu Melchishua – Mistari yote ya Biblia kuhusu Melchishua

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Melchishua

1 Samweli 14 : 49
49 ③ Basi, wana wa Sauli walikuwa ni hawa, Yonathani, na Ishvi, na Malkishua; na majina ya binti zake wawili yalikuwa haya; jina lake wa kwanza aliitwa Merabu, na jina lake mdogo aliitwa Mikali;

1 Samweli 31 : 2
2 Wafilisti wakamfuatia sana Sauli na wanawe, Wafilisti wakawaua Yonathani, na Abinadabu, na Malkishua, wana wa Sauli.

1 Mambo ya Nyakati 8 : 33
33 ⑲ Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.

1 Mambo ya Nyakati 9 : 39
39 Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.

1 Mambo ya Nyakati 10 : 2
2 Nao Wafilisti wakamfuatia sana Sauli na wanawe; Wafilisti wakawaua Yonathani, na Abinadabu, na Malkishua, wana wa Sauli.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *