Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mehetabel
Mwanzo 36 : 39
39 Akafa Baal-hanani, mwana wa Akbori, akamiliki Hadadi badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 50
50 Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akatawala badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
Leave a Reply