Biblia inasema nini kuhusu mapenzi ya kupita kiasi – Mistari yote ya Biblia kuhusu mapenzi ya kupita kiasi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mapenzi ya kupita kiasi

1 Wakorintho 13 : 4 – 8
4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
8 Upendo haupungui neno wakati wowote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *