Biblia inasema nini kuhusu Maoni – Mistari yote ya Biblia kuhusu Maoni

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Maoni

Yoshua 15 : 55
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta;

1 Samweli 25 : 2
2 Na huko Maoni kulikuwa na mtu mmoja, ambaye alikuwa na mali yake katika Karmeli; naye yule mtu alikuwa tajiri sana, mwenye kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake huko Karmeli.

1 Samweli 23 : 25
25 Basi Sauli na watu wake wakaenda kumtafuta. Watu wakamwambia Daudi; basi kwa hiyo akashuka mpaka mwambani, akakaa nyikani pa Maoni. Naye Sauli alipopata habari, alimwinda Daudi nyikani pa Maoni.

2 Mambo ya Nyakati 26 : 7
7 ① Mungu akamsaidia juu ya Wafilisti, na juu ya Waarabu waliokaa Gur-baali, na juu ya Wameuni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *