Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuzimia
Wakolosai 2 : 23
23 Mambo hayo yanaonekana kana kwamba yana hekima, katika namna ya ibada mliyojitungia wenyewe, na katika kunyenyekea, na katika kuutawala mwili kwa ukali; lakini hayafai kitu kwa kuzizuia tamaa za mwili.
Leave a Reply