Biblia inasema nini kuhusu kuwekeza – Mistari yote ya Biblia kuhusu kuwekeza

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuwekeza

2 Wakorintho 9 : 6
6 Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.

1 Yohana 2 : 15 – 17
15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.
16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *