Biblia inasema nini kuhusu kuwa na uzito kupita kiasi – Mistari yote ya Biblia kuhusu kuwa na uzito kupita kiasi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuwa na uzito kupita kiasi

1 Wakorintho 3 : 16 – 17
16 Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
17 Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi.

1 Wakorintho 10 : 13
13 Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita muwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili muweze kustahimili.

Wagalatia 5 : 22 – 23
22 ⑮ Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
23 ⑯ upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.

Luka 12 : 29
29 Ninyi msitafute mtakavyokula wala mtakavyokunywa; wala msiwe na wasiwasi,

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *