Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuongezewa damu
Mwanzo 9 : 4
4 Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.
Matendo 15 : 29
29 yaani, mjiepushe na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na nyama zilizosongolewa, na uasherati. Mkijizuia na hayo, mtafanya vema. Wasalamu.
Leave a Reply