Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kukosa mtu
Yohana 16 : 22
22 ⑲ Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.
2 Petro 3 : 9
9 ⑯ Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyodhani anakawia, bali huwavumilia, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikie toba.
Mwanzo 31 : 49
49 na Mispa, maana alisema, Mungu avizie kati ya mimi na wewe, wakati tusipoonana.
Leave a Reply