Biblia inasema nini kuhusu kujinyima – Mistari yote ya Biblia kuhusu kujinyima

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kujinyima

1 Wakorintho 10 : 13
13 Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita muwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili muweze kustahimili.

Mathayo 7 : 14
14 ⑲ Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

Mathayo 16 : 24
24 Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.

2 Timotheo 3 : 16
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *