Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kilikia
Matendo 6 : 9
9 Lakini baadhi ya watu wa sinagogi lililoitwa sinagogi la Mahuru, na la Wakirene, na la Waiskanderia, na la wale wa Kilikia na Asia, wakaondoka na kujadiliana na Stefano;
Matendo 15 : 23
23 Mitume na ndugu wazee, kwa ndugu zetu walioko Antiokia na Shamu na Kilikia, walio wa Mataifa; Salamu.
Matendo 15 : 41
41 Akapita katika Shamu na Kilikia akiyaimarisha makanisa.
Wagalatia 1 : 21
21 Baadaye nilikwenda pande za Shamu na Kilikia.
Matendo 27 : 5
5 Tulipopita bahari ya upande wa Kilikia na Pamfilia, tukafika Mira, mji wa Likia.
Leave a Reply