Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kichaka kinachowaka
Kutoka 3 : 5
5 ⑧ Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni mahali patakatifu.
Matendo 7 : 30
30 Hata miaka arubaini ilipotimia, malaika wa Bwana akamtokea katika jangwa la mlima wa Sinai katika muali wa moto, kichakani.
Leave a Reply