Biblia inasema nini kuhusu Kichaka kinachowaka – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kichaka kinachowaka

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kichaka kinachowaka

Kutoka 3 : 5
5 ⑧ Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni mahali patakatifu.

Matendo 7 : 30
30 Hata miaka arubaini ilipotimia, malaika wa Bwana akamtokea katika jangwa la mlima wa Sinai katika muali wa moto, kichakani.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *