Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Karkemishi
2 Mambo ya Nyakati 35 : 20
20 Baada ya hayo yote, alipokwisha Yosia kulitengeneza hekalu, Neko, mfalme wa Misri, akakwea ili kupigana Karkemishi karibu na Frati; naye Yosia akatoka juu yake.
Isaya 10 : 9
9 ⑯ Je! Kalno si kama Karkemishi? Hamathi si kama Arpadi? Samaria si kama Dameski?
Yeremia 46 : 2
2 ⑩ Kuhusu Misri; habari za jeshi la Farao Neko, mfalme wa Misri, lililokuwa karibu na mto Frati katika Karkemishi, ambalo Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alilipiga katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda.
Leave a Reply