Biblia inasema nini kuhusu Jabneeli – Mistari yote ya Biblia kuhusu Jabneeli

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Jabneeli

Yoshua 15 : 11
11 kisha mpaka ukaendelea hadi upande wa kaskazini wa Ekroni; tena mpaka ulipigwa hadi Shikroni, na kwendelea mpaka kilima cha Baala, kisha ukatokea hapo Yabneeli; na ukaishia katika bahari.

Yoshua 19 : 33
33 Na mpaka wao ulikuwa kutoka Helefu, tokea ule mwaloni ulio katika Saananimu, na Adami-nekebu, na Yabneeli, hadi kufikia Lakumu; na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *