Biblia inasema nini kuhusu Ini – Mistari yote ya Biblia kuhusu Ini

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ini

Mambo ya Walawi 3 : 5
5 Na wana wa Haruni watayateketeza kwa moto juu ya madhabahu, juu ya sadaka ya kuteketezwa, iliyo katika kuni zilizo juu ya moto; ni dhabihu ya kusongezwa kwa njia ya moto, harufu ya kupendeza kwa BWANA.

Ezekieli 21 : 21
21 Maana mfalme wa Babeli alisimama penye njia panda, penye kichwa cha njia hizo mbili, ili atumie uganga; aliitikisa mishale huku na huko, akaziuliza terafi, akayatazama maini.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *