Biblia inasema nini kuhusu Hauran – Mistari yote ya Biblia kuhusu Hauran

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hauran

Ezekieli 47 : 16
16 Hamathi, na Berotha, na Sibraimu, ulio katikati ya mpaka wa Dameski na mpaka wa Hamathi; na Haser-hatikoni, ulio karibu na mpaka wa Haurani.

Ezekieli 47 : 18
18 Na upande wa mashariki, kati ya Haurani na Dameski, na Gileadi na nchi ya Israeli, utakuwa Mto Yordani; mtapima toka mpaka wa upande wa kaskazini hata bahari ya mashariki. Huu ndio upande wa mashariki.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *