Biblia inasema nini kuhusu Hara – Mistari yote ya Biblia kuhusu Hara

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hara

1 Mambo ya Nyakati 5 : 26
26 Naye Mungu wa Israeli akamwamsha roho Pulu, mfalme wa Ashuru, yaani roho ya Tiglath-Pileseri, mfalme wa Ashuru, naye akawachukua mateka hao Wareubeni, na Wagadi, na nusu kabila ya Wamanase; akawaleta mpaka Hala, na Habori, na Hara, na mpaka mto wa Gozani, hata siku hii ya leo.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *