Biblia inasema nini kuhusu Gilboa – Mistari yote ya Biblia kuhusu Gilboa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gilboa

1 Samweli 28 : 4
4 Nao Wafilisti wakakusanyika, wakaenda kufanya kambi huko Shunemu; naye Sauli akawakusanya Waisraeli wote, nao wakapiga hema katika Gilboa.

1 Samweli 31 : 8
8 Hata ikawa, siku ya pili yake, Wafilisti walipokwenda kuwateka nyara waliouawa, walimwona Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya mlima wa Gilboa.

1 Mambo ya Nyakati 10 : 8
8 Hata ikawa siku ya pili yake Wafilisti walipokwenda kuwateka nyara hao waliouawa, walimwona Sauli na wanawe wameanguka juu ya mlima Gilboa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *