Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gethsemane
Mathayo 26 : 50
50 Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia. Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.
Marko 14 : 46
46 Wakanyosha mikono yao wakamkamata.
Luka 22 : 49
49 Na wale waliokuwa karibu naye walipoona yatakayotokea, walisema, Bwana, tuwapige kwa upanga?
Yohana 18 : 2
2 ⑤ Naye Yuda, yule aliyetaka kumsaliti, alipajua mahali pale; kwa sababu Yesu alikuwa akienda huko mara nyingi pamoja na wanafunzi wake. ⑥
Leave a Reply