Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gaash
Yoshua 24 : 30
30 Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-sera; ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa mlima wa Gaashi.
Yoshua 24 : 30
30 Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-sera; ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa mlima wa Gaashi.
Waamuzi 2 : 9
9 ⑥ Nao wakamzika katika mpaka wa urithi wake katika Timnath-heresi, katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa mlima wa Gaashi.
2 Samweli 23 : 30
30 na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;
Leave a Reply